MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU - Pastor Amiq Jd.
Bwana Yesu Asifiwe!!! Karibu usikilize naku download mafundisho ya Neno la Mungu kutoka kwa Pastor Amiq Jd. Mafundisho haya yalifundishwa siku za Jumapili na yanalenga kumjenga Mtu Binafsi aimarishe uhusiano wake binafsi yeye na Mungu ili Mungu awe anamsaidia katika mambo yake yote hapa duniani na hatimaye ampeleke Mbinguni. Maisha ni Safari - Pastor Amiq Jd
No comments: